Walevi wa3 walikodi Bajaji, Baada ya dereva kugundua kuwa wamelewa akaamua kufanya yake akaiwasha bajaji na kuipiga lesi za kutosha bila kuondoka kisha akaizima akawaambia wale jamaa(walevi) tumefika:
Wa1: Akashuka akamwambia asante.
Wa2: Akashuka akamlipa.
Wa3: Akampiga bonge la kofi na kumwambia siku nyingine usiendeshe kasihivyo.
SWALI: Yupi aliyekuwa kalewa kuliko wengine?!
No comments:
Post a Comment