Wednesday, May 13, 2015

Ulevi nouma

Walevi wa3 walikodi Bajaji, Baada ya dereva kugundua kuwa wamelewa akaamua kufanya yake akaiwasha bajaji na kuipiga lesi za kutosha bila kuondoka kisha akaizima akawaambia wale jamaa(walevi) tumefika:
Wa1: Akashuka akamwambia asante.
Wa2: Akashuka akamlipa.
Wa3: Akampiga bonge la kofi na kumwambia siku nyingine usiendeshe kasihivyo.
     SWALI: Yupi aliyekuwa kalewa kuliko wengine?!

No comments:

Post a Comment